Baba Levo adai Diamond amelipwa TSh. 2.7 Bilioni kutumbuiza kwenye birthday ya Bilionea Ghana (2025)

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
3,018
9,099
  • Mar 21, 2025
  • #1

Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amewasili Accra, Ghana, kwa ajili ya kutumbuiza kwenye sherehe ya kuzaliwa ya bilionea maarufu wa nchi hiyo, Richard Nii Armah Quaye.

Kwa mujibu wa Baba Levo, Diamond amelipwa kiasi cha shilingi bilioni 2.7 za Kitanzania kwa ajili ya kutumbuiza katika hafla hiyo ya kifahari.

Baba Levo adai Diamond amelipwa TSh. 2.7 Bilioni kutumbuiza kwenye birthday ya Bilionea Ghana (2)

Tukio hilo limewaleta pamoja mastaa wakubwa wa Afrika, akiwemo msanii wa Nigeria, Davido, na watu mashuhuri wengine wa bara hili.

Baba Levo adai Diamond amelipwa TSh. 2.7 Bilioni kutumbuiza kwenye birthday ya Bilionea Ghana (3)

fogoh2

JF-Expert Member
Apr 13, 2017
5,700
5,831
  • Mar 22, 2025
  • #2

Sio tena habari za kustua kwa msanii kama diamond ,hizi ni habari kubwa kwa wakina harmo,kiba,jux,vanny nk, kwa sasa mond aende duniani kuparty na kina jigga

Numbisa

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
317,936
1,200,921
  • Mar 22, 2025
  • #3

Sawa sawa

K

kibobori mahoro

JF-Expert Member
Dec 12, 2022
8,148
11,533
  • Mar 22, 2025
  • #4

Huenda wanapeana katika ulimwengu wa roho.

Grahams

JF-Expert Member
Mar 19, 2016
17,204
52,598
  • Mar 22, 2025
  • #5

Hivi Baba Levo anajua kwamba bilioni 2.7 ni sawa dollar za Marekani milioni 1.07 hivi??

Hata kama anampenda Diamond platinums kama boss wake, hii chumvi ni too much

Aseme labda analipwa dollar laki 4 ama pungufu lakini sio dollar milioni 1.07

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
8,422
13,818
  • Mar 22, 2025
  • #6

Uongo mwingi sana kwa wasanii wa Tz.
Na hao machawa wao wengi ni mapunga.

Q

Quencher

JF-Expert Member
Jun 19, 2024
927
2,728
  • Mar 22, 2025
  • #7

Umaskini mbaya sana

D

Don Masanja

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
885
819
  • Mar 26, 2025
  • #8

Grahams said:

Hivi Baba Levo anajua kwamba bilioni 2.7 ni sawa dollar za Marekani milioni 1.07 hivi??

Hata kama anampenda Diamond platinums kama boss wake, hii chumvi ni too much

Aseme labda analipwa dollar laki 4 ama pungufu lakini sio dollar milioni 1.07

Alilipwa usd 600,000/=

Grahams

JF-Expert Member
Mar 19, 2016
17,204
52,598
  • Mar 26, 2025
  • #9

Don Masanja said:

Alilipwa usd 600,000/=

Tatizo la Wasanii wa Bongo kupenda kuongeza sifuri, yaani alifikiri dollar milioni 1.06 ni chache kiasi hicho mtu alipwe Kwa show Moja tu

By the way, hongera zake Diamond

Hata hivyo malipo ya dollar 600,000 sio haba ni zaidi ya Bilioni 1.3 hivi za Tanzania

Fanton Mahal

JF-Expert Member
Mar 22, 2024
2,812
7,856
  • Mar 26, 2025
  • #10

2.7B kutumbuiza tu?? Au na tajiri nae akatumbuiza? 😂😂 maana mmmh!!

H

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Nov 30, 2022
1,746
1,590
  • Mar 26, 2025
  • #11

Sasa hili uliloleta linawasaidiaje waTz au kila mkiona choo au kichaka mavi yanawabana??

Mayu

JF-Expert Member
May 11, 2010
8,034
13,150
  • Mar 26, 2025
  • #12

HAKI KWA WOTE said:

Sasa hili uliloleta linawasaidiaje waTz au kila mkiona choo au kichaka mavi yanawabana??

Mkuu mbona kama umevurugwa vile........ upo jukwaa la selebriti ujue😂😂😂

Ukitaka mambo ya kukusaidia nenda kapige kambi jukwaa la Kilimo, biashara na uchumi, siasa nk

Jukwaa la selebriti chit chat love connection ni majukwaa ya maskara, umbea na kupunguzia stress

L

Linho 91

JF-Expert Member
Oct 12, 2024
216
302
  • Mar 26, 2025
  • #13

Fanton Mahal said:

2.7B kutumbuiza tu?? Au na tajiri nae akatumbuiza? 😂😂 maana mmmh!!

Unamaanisha kama ule upako anao toaga pafu dadi?

King Kong III

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
57,332
81,661
  • Mar 27, 2025
  • #14

600k usd au 2.7B Tsh?

900 Itapendeza zaidi

JF-Expert Member
Nov 19, 2017
8,939
10,725
  • Mar 27, 2025
  • #15

Waufukweni said:

Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amewasili Accra, Ghana, kwa ajili ya kutumbuiza kwenye sherehe ya kuzaliwa ya bilionea maarufu wa nchi hiyo, Richard Nii Armah Quaye.

View attachment 3279128

Kwa mujibu wa Baba Levo, Diamond amelipwa kiasi cha shilingi bilioni 2.7 za Kitanzania kwa ajili ya kutumbuiza katika hafla hiyo ya kifahari.

View attachment 3279127

Tukio hilo limewaleta pamoja mastaa wakubwa wa Afrika, akiwemo msanii wa Nigeria, Davido, na watu mashuhuri wengine wa bara hili.

View attachment 3279130

labda mtuambie peza zote hizo zinajumuisha na huduma ya u-pididy

You must log in or register to reply here.

Baba Levo adai Diamond amelipwa TSh. 2.7 Bilioni kutumbuiza kwenye birthday ya Bilionea Ghana (2025)

References

Top Articles
Latest Posts
Recommended Articles
Article information

Author: Jerrold Considine

Last Updated:

Views: 6085

Rating: 4.8 / 5 (58 voted)

Reviews: 89% of readers found this page helpful

Author information

Name: Jerrold Considine

Birthday: 1993-11-03

Address: Suite 447 3463 Marybelle Circles, New Marlin, AL 20765

Phone: +5816749283868

Job: Sales Executive

Hobby: Air sports, Sand art, Electronics, LARPing, Baseball, Book restoration, Puzzles

Introduction: My name is Jerrold Considine, I am a combative, cheerful, encouraging, happy, enthusiastic, funny, kind person who loves writing and wants to share my knowledge and understanding with you.